Tigo hamna special thread lakini nilitaka sema neno

Tigo hamna special thread lakini nilitaka sema neno

Russia is not your enemy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2023
Posts
373
Reaction score
625
Kwa Sasa ni mwendo wa kopa weka kopa weka. Tena Sasa ni kopa nyingi weka kidgo najua mnapata sana
Screenshot_20230311-213704.jpg

Inaitwa hakuna namna. Maisha ni magum na lazima yaendelee.

Tumuombee Rais Samia, Maisha sio poa. Mimi sio CHADEMA nilisikia wakuongea hiki kitu.

Milo ni mi4 Kwa wiki trust me..

Mlo unaliwa saa Kumi na 12 jioni Hadi 12 siku inayofataonheza watumishi mshahaymambo yaende mwigulu anakudanganya. Wahuni wanasema anakuingiza Chaka. Mwigulu Hana tofauti na Mzee mmj mpare alidai tule majini ndege ya Rais inunuliwe. Mwigulu Hana kanuni hata Mija yankuokoa uchumi.

Screenshot_20230311-214518.jpg



Nakumbuka maisha yalikuja kuwa magumu kama Mwaka huu.

Mama afanye jambo..wachumi wanamuangusha wanakuwa wachumia tumbo
 
Back
Top Bottom