HahaaHii kampuni yenu pendwa ina majanga kweli kila jina baya pia hupewa wao
Hakusoma alipwe chakula alisoma apate maarifa na kuyatawala mazingiradah mkuu mdogo wako alikuwa anasomea nini mpaka kufikia hatua kumwambia hivyo?
Pole mkuuNa nitaendelea kuandika huu uzi mpaka nione wahusika wanachukua hatua
Sent using Jamii Forums mobile app
wataelewa tu mkuu kwanini wengine tumeamua kukaa mashambaniMshahara 200,000 na unaishi dar!!
Mbona hatari