Halotel wezi wa data hawafaiHamia halotel,,tigo,voda saa hivi mitandao haishiki,,uchakavu wa mitambo
Haya mambo tulikua tunayaona kwenye tiivii kule Korea kaskazini, Zimbabwe, Venezuela, Urusi, China na. Failed state nyingine na Gabon. Sasa imekua hapa hapaInternet Imezimwa
SasaHaya mambo tulikua tunayaona kwenye tiivii kule Korea kaskazini, Zimbabwe na Gabon. Sasa imekua balaa
Naishi TanzaniaUnaishi nchi gani?
Lakini ya voda inapatikanaInternet Imezimwa
Halotel kwa huku nilipo inasumbua sana ndio maana situmiiHamia halotel,,tigo,voda saa hivi mitandao haishiki,,uchakavu wa mitambo
HayaNaishi Tanzania
DuuhShida ni TCRACCM.
Kwa hiyo siku zote ulikuwa unapata leo ndio imegoma?Wakuu naomba mwenye kujua anijuze ni vipi naweza pata access za mitandao ya kijamii kwa kutumia mtandao wa tigo
Bando lipo nimeunga la. Social pack baada ya data za kawaida kuisha lakini bado siwezi peruzi mtandaoni
Hapo shida ni nini wakuu
Ndio nilikua napata vizuri tuKwa hiyo siku zote ulikuwa unapata leo ndio imegoma?