Kwa kuwa tumeshajenga mazoea kwamba ikifikia xmass mnaita potential customers na kuwapa zawadi ya "madaftari" lakn mwaka huu naona kimya
My Take;
Bora tu mkaushe maana niligombana na customer care last yr baada ya kugundua kwamba hakukua na value foe money; yaani unatumia fedha nyingi kufuata zawadi kiduchu.
jitu zimaaaa linakaa kungojea vya bure! kichwa kama box!