Hivi hawa jamaa wazima kweli? Huu ulikuwa wakati muafaka kupandisha gharama za simu na sms? Wapo busy ku-promote wimbo wa mbayuwayu hadi wanakera... hivi kumsikilizisha mtu kitu asichotaka sio kosa?
Inawezekana hawa jamaa wapo kwenye payroll ya kampuni nyingine kwa ahadi ya kuiua tigo....
RIP TIGO