TIGO mastercard

Tareqmachoo

New Member
Joined
Dec 31, 2024
Posts
3
Reaction score
6
KERO ! Tigo mastercard nimepokea refund ya 4.3 million makato niliyokatwa ni laki 9 (931,000). Tigo nahitaji pesa yangu. Mamlaka husika chunguzeni makatato ya Tigo pesa. Watanzani pesa zao zinapotea kwenye makato ya Tigo pesa
.
0659 172 401
 
KERO ! Tigo mastercard nimepokea refund ya 4.3 million makato niliyokatwa ni laki 9 (931,000). Tigo nahitaji pesa yangu. Mamlaka husika chunguzeni makatato ya Tigo pesa. Watanzani pesa zao zinapotea kwenye makato ya Tigo pesa
.
0659 172 401
Tuliza kichwa na elezea taratibu tukuelewe ili tukushauri, ulifanya nini mpaka kutaka hiyo refund?
 
Ongea vizuri sasa mkuu, chief executive wa JF intelligence nipo hapa.
Enhee emu nielekeze kwa tuo sasa ili tuone tunalimalizq vipi hili.
JF intelligence.
 
Very expensive, hata kupelekea pesa ngámbo ni gharama sana kupitia tigo master card
 
KERO ! Tigo mastercard nimepokea refund ya 4.3 million makato niliyokatwa ni laki 9 (931,000). Tigo nahitaji pesa yangu. Mamlaka husika chunguzeni makatato ya Tigo pesa. Watanzani pesa zao zinapotea kwenye makato ya Tigo pesa
.
0659 172 401
Katika kadi zote za hovyo ni hao tigo angalau baki voda mkuu au kachukue kadi ya manunuzi toka benki yeyote ya kigeni, Nmb usiguse kadi yao inamatundu mengi (loophole)za kutosha Wanaigeria wanaiba balaa , Anaweza kukuibia dola moja moja kila lisaa ukajikuta unashangaa tu na ukienda NMb hawasemi lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…