Tareqmachoo
New Member
- Dec 31, 2024
- 3
- 6
Tuliza kichwa na elezea taratibu tukuelewe ili tukushauri, ulifanya nini mpaka kutaka hiyo refund?KERO ! Tigo mastercard nimepokea refund ya 4.3 million makato niliyokatwa ni laki 9 (931,000). Tigo nahitaji pesa yangu. Mamlaka husika chunguzeni makatato ya Tigo pesa. Watanzani pesa zao zinapotea kwenye makato ya Tigo pesa
.
0659 172 401
Katika kadi zote za hovyo ni hao tigo angalau baki voda mkuu au kachukue kadi ya manunuzi toka benki yeyote ya kigeni, Nmb usiguse kadi yao inamatundu mengi (loophole)za kutosha Wanaigeria wanaiba balaa , Anaweza kukuibia dola moja moja kila lisaa ukajikuta unashangaa tu na ukienda NMb hawasemi loloteKERO ! Tigo mastercard nimepokea refund ya 4.3 million makato niliyokatwa ni laki 9 (931,000). Tigo nahitaji pesa yangu. Mamlaka husika chunguzeni makatato ya Tigo pesa. Watanzani pesa zao zinapotea kwenye makato ya Tigo pesa
.
0659 172 401