NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 28
Mtandao wa Kampuni ya TiGo haufanyi kazi tokea asubuhi wana tatizo gani au mafisadi wamewaingilia kuwakwamisha kwakuwa ni mtandao wa bei nafuu watueleze mapema kabla hatujahamia kampuni nyingine!!!!
Wengine sisi biashara tunayoitegemea kuishi ni kwa simu ya mkononi mtandao huohuo?
Wengine sisi biashara tunayoitegemea kuishi ni kwa simu ya mkononi mtandao huohuo?