NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 28
Visa nitaipatia wapi ndugu yangu mie nipo na laini yangu ya TiGo mtandao wa bei poa nikiweka Extreme watoto na familia wanaenda toiletkamlaumu aliekunyima visa!!!
kamlaumu aliekunyima visa!!!
Hatimaye wamefungua ila leo tuimeipata freshMtandao wa TIGO unafanya Kazi kama. Wewe simu yako ndio yenye matatizo.
Mimi hapa ndunda na TIGO kama kawaida
Hatimaye wamefungua ila leo tuimeipata fresh
Ulitaka afanye kazi gani?nilishawahi kukutaa na mtoto wa bosi wangu wa zamani Manchester akifanya kazi ya kuosha vyombo!
upuuzi mtupu
Ulitaka afanye kazi gani?