tiGO Messenger

tiGO Messenger

JosM

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2008
Posts
679
Reaction score
19
Katika pita pita zangu kwenye mtandao nimekutana na hii kitu toka tigo.
nimeona sio vibaya nika share na nyie.
attachment.php

unaweza kujiandikisha kwenye web yao na kudownload Tigo messenger
attachment.php

pia unaweza kuchat kwenye web yao
attachment.php

muonekano wake wakati wa ku-install
attachment.php

na kiswahili ndani!
attachment.php

muonekano wake baada ya ku-install
attachment.php

unaweza ku-add Id zako za yahoo MSN N'K.

http://tigo3.imserver.net/tigowebim/login2/index.htm
Unaweza kutuma SMS 10 za bure kwenda mitandao yote
 

Attachments

  • ScreenHunter_01 Jul. 25 11.17.gif
    ScreenHunter_01 Jul. 25 11.17.gif
    47.7 KB · Views: 238
  • ScreenHunter_02 Jul. 25 11.19.gif
    ScreenHunter_02 Jul. 25 11.19.gif
    56.3 KB · Views: 215
  • ScreenHunter_03 Jul. 25 11.27.gif
    ScreenHunter_03 Jul. 25 11.27.gif
    15.9 KB · Views: 208
  • ScreenHunter_04 Jul. 25 11.28.gif
    ScreenHunter_04 Jul. 25 11.28.gif
    14.9 KB · Views: 209
  • ScreenHunter_05 Jul. 25 11.35.gif
    ScreenHunter_05 Jul. 25 11.35.gif
    13.2 KB · Views: 211
  • ScreenHunter_06 Jul. 25 11.37.gif
    ScreenHunter_06 Jul. 25 11.37.gif
    40.1 KB · Views: 202
Last edited:
Bora hii ya tigo kuliko the grid ya voda...na kumbuka kipindi kile Buzz walikuwa na huduma yao ambayo una login kwenye web yao unatuma msg n'k na ulikuwa unaweza kuangalia record zako za watu ulio wapigia na walio kupigia.ili kuwa kasheshe kweli kwani watu wengi waliandikisha namba za wapenzi wao na kuwafuatilia wanawasiliana na watu gani,kwenye sms ndio ilikuwa balaa maana mtu akiingia kwenye web anasoma msg zote ulizo tuma na kutumiwa,na kuangalia umepigia nani.
 
Bora hii ya tigo kuliko the grid ya voda...na kumbuka kipindi kile Buzz walikuwa na huduma yao ambayo una login kwenye web yao unatuma msg n'k na ulikuwa unaweza kuangalia record zako za watu ulio wapigia na walio kupigia.ili kuwa kasheshe kweli kwani watu wengi waliandikisha namba za wapenzi wao na kuwafuatilia wanawasiliana na watu gani,kwenye sms ndio ilikuwa balaa maana mtu akiingia kwenye web anasoma msg zote ulizo tuma na kutumiwa,na kuangalia umepigia nani.

yap sure, naikumbuka hii kitu.
mi nadhani kwa sasa kwa kua kuna uandikishwaji wa namba(usajili wa watumiaji simu), then utaratibu kama huo ungerudishwa kwani baadhi ya mitandao kama zain na tigo kupata line ya customer care kwa kweli ni ishu kubwa, line hazipatikani kabisa. wakiweka huduma kama call register, msg register online inakua nzuri zaidi hasa endapo kama mtu umeibiwa simu contacts zako una uhakika wa 90% kuzipata. hii itasaidia kupunguza msongamano wa line customer care
 
yap sure, naikumbuka hii kitu.
mi nadhani kwa sasa kwa kua kuna uandikishwaji wa namba(usajili wa watumiaji simu), then utaratibu kama huo ungerudishwa kwani baadhi ya mitandao kama zain na tigo kupata line ya customer care kwa kweli ni ishu kubwa, line hazipatikani kabisa. wakiweka huduma kama call register, msg register online inakua nzuri zaidi hasa endapo kama mtu umeibiwa simu contacts zako una uhakika wa 90% kuzipata. hii itasaidia kupunguza msongamano wa line customer care

nimesikia tigo wanairudisha hiyo huduma tena.
 
Nilikuja kwa kasi kwenye hii thread nikiwaza mambo ya pacha wangu Fidel80! Thanks thou
 
Nilikuja kwa kasi kwenye hii thread nikiwaza mambo ya pacha wangu Fidel80! Thanks thou

Hahahahaha hata mimi nilipo ona wewe umepost nikajua mambo yetu yaleeeee kumbe hola nimeishiwa pumnzi.
 
Nilikuja kwa kasi kwenye hii thread nikiwaza mambo ya pacha wangu Fidel80! Thanks thou

Hahahahaha hata mimi nilipo ona wewe umepost nikajua mambo yetu yaleeeee kumbe hola nimeishiwa pumnzi.

tIGO -- express yourself
 
Hahahahaha hata mimi nilipo ona wewe umepost nikajua mambo yetu yaleeeee kumbe hola nimeishiwa pumnzi.

mkuu kwa tiGO uko juu sana hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa
inaonekana ukiona neno tiGO mwili unasisimuka!
icon10.gif
icon10.gif
 
Ha ha ha .... kuna wachimbaji wengi humu.
hawana lolote hao,tatizo lao mawazo yao wameyaelekeza kwenye uchafu wao.Fidel80 bro! leo kuna maombi kanisani kwetu,nakuomba uje tukuombee!
 
Nilikuja kwa kasi kwenye hii thread nikiwaza mambo ya pacha wangu Fidel80! Thanks thou

Masa hivi una viunga mkono vitendo vya pacha wako? maana naona sasa anaharibu sifa yake,mbona YoYo akiwa majukwaa kama haya anakuwa naheshima zote.
 
Masa hivi una viunga mkono vitendo vya pacha wako? maana naona sasa anaharibu sifa yake,mbona YoYo akiwa majukwaa kama haya anakuwa naheshima zote.

Shemeji Yo Yo amekuwa hivyo baada ya kumrudia muumba wake!
 
Back
Top Bottom