Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 651
Hii promosheni kwangu naona haina maana yoyote
Yani nanunua MB kisha unaniongezea MB nyingine kidogo za bure halafu unanibana kwamba nitumie tu kwa Whatsapp is not fair
Kulikua na ulazima gani kumuongezea mtu MB halafu unampangia wapi pa kuzitumia
Mwanzoni wakati mnapigia promo hii promosheni nilidhani mnakuja na kitu cha maana kumbe hamna lolote
Jirekebisheni
Yani nanunua MB kisha unaniongezea MB nyingine kidogo za bure halafu unanibana kwamba nitumie tu kwa Whatsapp is not fair
Kulikua na ulazima gani kumuongezea mtu MB halafu unampangia wapi pa kuzitumia
Mwanzoni wakati mnapigia promo hii promosheni nilidhani mnakuja na kitu cha maana kumbe hamna lolote
Jirekebisheni