Tigo Mnakera na Meseji za Matangazo

Tigo Mnakera na Meseji za Matangazo

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Tangu jana mpaka muda huu nimepokea meseji 69 za matangazo ya cha asubuhi, huu ni usumbufu kwetu watumiani wa mtandao wenu, Itoshe kuwaambia hali hii ikiendelea baadhi yetu tuna suspend line zenu zinakuwa za kupokelea tu simu.

Tutajaza salio kwenye line za mitandao ya kiistarabu kwakuwa mmekuwa wajinga hamsikii wala kuelewa malalamiko ya wateja wenu, zingatieni kwamba hizo meseji zinadraw attention ya watumiaji wa simu wakidhani kuna jambo la muhimu wanaacha kazi kumbe ujumbe wa kipumbavu kabisa
 
Hahaha huwa zinaboa sana ,wakati unasubiria muamala uingie kwa hamu mara unasikia meseji imeingia kwenda kuangalia unaakutana na WIKIENDOFA au kutoka 15633 Hongera UMEBAHATIKA...Zina bore sana.
 
Nyie hamuwajui TTCL kifurushi kikiisha. Kuna siku ziliingia meseji 45 ndani ya masaa 3 hivi.
 
Upuuzi sana hasa pale wanapotuma mamessage kutoka third party , kwanini wasiweke option ya mtu ku unsub?
 
Upuuzi sana hasa pale wanapotuma mamessage kutoka third party , kwanini wasiweke option ya mtu ku unsub?
Mimi nimeamua kuacha kuweka salio hawana adabu, tatizo ni management yao iko kwenye idolecence age
 
Kama unatumia android, app kwa ajili ya text message tumia ile ya Google (kama siyo default kwenye cm yako), hii unablock namba zote wanazotumia tigo kutuma messages za matangazo
 
Back
Top Bottom