Tigo mnatuchosha na sms za 'Kopa Simu'

Tigo mnatuchosha na sms za 'Kopa Simu'

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Asubuhi hata hatujanywa chai, sms inaingia "Kopa Simu"

Mchana hata sijaenda kula ugali kwa mlenda na dagaa wenye pilipili kali sms inaingia, Kopa Simu.

Usiku najiandaa kubaiolojika, sijaanza mambo vizuri unasikia sms ukiifingua, Kopa Simu.

Tigo na Zantel Mnatuchosha jamani, sms zenu za" Kopa Simu" zimekuwa kero kwetu.
 
Wablock tu
Nilishawablock hao, VODA JAMAA, VODA TAARIFA, sijui VODA BIMA na takataka zingine.
 
Asubuhi hata hatujanywa chai, sms inaingia "Kopa Simu"

Mchana hata sijaenda kula ugali kwa mlenda na dagaa wenye pilipili kali sms inaingia, Kopa Simu.

Usiku najiandaa kubaiolojika, sijaanza mambo vizuri unasikia sms ukiifingua, Kopa Simu.

Tigo na Zantel Mnatuchosha jamani, sms zenu za" Kopa Simu" zimekuwa kero kwetu.
Yani siyo hiyo tu.. kifupi sms zisizo na reply option zimekuwa nyingi mnooo... Kero keroo...
 
Wanakera Sana unakuta una kazi unafanya Mara sms unaingia Mara kopa simu Nani aliwaambia Sina simu natamn nitupe lain yao Kwanza net yao mbovu na huduma zao ziko juu Mimi naitumia lain yao kwa ajili ya tigo pesa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hakuna namna ya kuwashtaki? Niliwapigia simu zaidi ya mara 10 kuwa sitaki kuona patapata kwenye simu yangu lakini bado tu meseji zinakuja. Na sasa hivi wameongeza kopa simu. Wataalamu wa sheria toeni shule hapa ili kama kuna uwezekano wa kuwashataki baada ya kuwataarifu kuwa sizitaki meseji zao kwenye simu yangu halafu wanaleta ukaidi.
 
Hivi hakuna namna ya kuwashtaki? Niliwapigia simu zaidi ya mara 10 kuwa sitaki kuona patapata kwenye simu yangu lakini bado tu meseji zinakuja. Na sasa hivi wameongeza kopa simu. Wataalamu wa sheria toeni shule hapa ili kama kuna uwezekano wa kuwashataki baada ya kuwataarifu kuwa sizitaki meseji zao kwenye simu yangu halafu wanaleta ukaidi.
Ni kweli mkuu kama kuna namna ya kuwashtaki nipo tayari kuwa shahidi. Jamaa wanakera sana na SMS zao. Hizo za PATAPATA nimewahi kuwaomba wasinitumie ndio zikaanza kuingia kwa wingi. Wanakera sana.
 
Asubuhi hata hatujanywa chai, sms inaingia "Kopa Simu"

Mchana hata sijaenda kula ugali kwa mlenda na dagaa wenye pilipili kali sms inaingia, Kopa Simu.

Usiku najiandaa kubaiolojika, sijaanza mambo vizuri unasikia sms ukiifingua, Kopa Simu.

Tigo na Zantel Mnatuchosha jamani, sms zenu za" Kopa Simu" zimekuwa kero kwetu.
Washafanyia kazi
 
Back
Top Bottom