Tigo mnatuibia mia mia zetu tunaotumia simu banking.

Tigo mnatuibia mia mia zetu tunaotumia simu banking.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Ukiweka menu ya simu banking utashangaa unasearch halafu inaandika transaction failed(inashindwa kukuunga na mfumoi wa benki). Ukija kuangalia salionunakuta mia yako imefyekwa.

Utasema labda mtandao ulikuwa mbovu nijaribu tena, mia nyingine inaenda. Kwanini mnakata pesa bila kutoa huduma? Huo ni wizi.
 
Ukiweka menu ya simu banking utashangaa unasearch halafu inaandika transaction failed(inashindwa kukuunga na mfumoi wa benki). Ukija kuangalia salionunakuta mia yako imefyekwa.

Utasema labda mtandao ulikuwa mbovu nijaribu tena, mia nyingine inaenda. Kwanini mnakata pesa bila kutoa huduma? Huo ni wizi.
Jamaa ni wezi

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
-Hapo wateja wanapigwa sana,unaingia Menu,kabla hujamaliza network inafail,na 100 imekatwa
-mteja anaweza kuingia hata Mara nne na asihitimishe muamala.
Pendekezo: Network ikifail kusiwe na makato,au kuwe na namna ya kumrudishia mteja.
 
Hili limenitokea juzi tu nikiwa na mtandao mwingine...buku iliisha bila kupata huduma yoyote. Kuna muda network ina fail unarudia tena..muda mwingine unaipata halafu inakatia njiani. Nikahitimisha kuwa huu nao ni upigaji wa namna nyingine.
 
Hili limenitokea juzi tu nikiwa na mtandao mwingine...buku iliisha bila kupata huduma yoyote. Kuna muda network ina fail unarudia tena..muda mwingine unaipata halafu inakatia njiani. Nikahitimisha kuwa huu nao ni upigaji wa namna nyingine.
Upigaji wa mchana kweupe.
 
Kwani hio huduma huwezi kuipata kwa wakala physically? Mpaka ukomae na hao SimBanking?
 
Tupo bongo bahati mbaya by Young D
Hiyo mia unayokuuma sana. Ipo siku 1GB utainunua kwa 10,000.
 
Ukiweka menu ya simu banking utashangaa unasearch halafu inaandika transaction failed(inashindwa kukuunga na mfumoi wa benki). Ukija kuangalia salionunakuta mia yako imefyekwa.

Utasema labda mtandao ulikuwa mbovu nijaribu tena, mia nyingine inaenda. Kwanini mnakata pesa bila kutoa huduma? Huo ni wizi.
Daaa Bora umetusemea mengi unakataje pesa wakati huduma ijakamilika huu sio wizi tuu bali ni ufisadi na ukandamizaji kwa wananchi .Nadhani huu kuna viongozi watatusaidia kufikisha sehemu husika
 
Ukiweka menu ya simu banking utashangaa unasearch halafu inaandika transaction failed(inashindwa kukuunga na mfumoi wa benki). Ukija kuangalia salionunakuta mia yako imefyekwa.

Utasema labda mtandao ulikuwa mbovu nijaribu tena, mia nyingine inaenda. Kwanini mnakata pesa bila kutoa huduma? Huo ni wizi.
Nakifanya kiburi itabidi wafungulie madai ya kukata malipo ya huduma huku huduma yenyewe hujapata.So wahusika mlifanyie kazi msije kuwa mnafurahi now baadae mwaweza kulia maaana siku hizi mambo yamebadilika
 
Nakifanya kiburi itabidi wafungulie madai ya kukata malipo ya huduma huku huduma yenyewe hujapata.So wahusika mlifanyie kazi msije kuwa mnafurahi now baadae mwaweza kulia maaana siku hizi mambo yamebadilika
Kabisa
 
Nawahama rasmi this month,las week mmeweka buku wamekata na huduma sikupata kiukweli nawahama nahamia airtel,tigo ni wezi aseehh!
 
Hili limenitokea juzi tu nikiwa na mtandao mwingine...buku iliisha bila kupata huduma yoyote. Kuna muda network ina fail unarudia tena..muda mwingine unaipata halafu inakatia njiani. Nikahitimisha kuwa huu nao ni upigaji wa namna nyingine.
If that so...sihitaki hyo huduma tena!naitoa kwa simu yangu inakera sana..wanakata pesa then huduma hakuna
 
Back
Top Bottom