Mucho Mucho
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 245
- 256
Toka juzi tukipiga simu mnaweka matangazo then ndio muito wa simu unafuata, hatujapiga kusikia matangazo, what if napiga simu kwa doctor kama imetokea dharula?,what if nimevamiwa nataka msaada kwa haraka?
Fanyeni utaratibu mzuri, tunawapenda ila mnakwaza.
Fanyeni utaratibu mzuri, tunawapenda ila mnakwaza.