MJIMPYA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 506
- 272
Tigo wamesitisha kutoa line za uwakala wa tigo pesa (TILL) kwa muda mrefu sasa, hata walioomba July mpaka leo hakuna jibu.
Matokeo yake ukienda kwa wakala mkuu wanakwambia toa laki 6, wengine laki 3 ili upate hiyo line.
Wengine vijana wamejifanya staff wa tigo na wanatapeli watu kwa kuchukua ela na kudai watawapatia hizo line na mwishowe hawatoi.
Tigo acheni kuchochea rushwa toeni till
Matokeo yake ukienda kwa wakala mkuu wanakwambia toa laki 6, wengine laki 3 ili upate hiyo line.
Wengine vijana wamejifanya staff wa tigo na wanatapeli watu kwa kuchukua ela na kudai watawapatia hizo line na mwishowe hawatoi.
Tigo acheni kuchochea rushwa toeni till