Ndugu Mteja, Kutakua na maboresho ya huduma za Tigo Pesa leo kuanzia saa 6 usiku mpaka 12 asubuhi. Tafadhali fanya miamala yako kabla na baada ya muda huo
Hiyo ndio Sms niliyotumia jana ila mpaka muda hii saa 11:37 bado haifanyi kazi mnafeli wapi ?
Sent using Jamii Forums mobile app