Tigo Pesa tangu wamebadili jina huduma imekuwa mbovu mno

Tigo Pesa tangu wamebadili jina huduma imekuwa mbovu mno

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Hii MIXX by Yas muda mwingi huduma haiko hewani. Hapa nataka kununua umeme (LUKU) lakini kila nikijaribu naambiwa muamala umesitishwa, pesa zimerudishwa kwenye akaunti yako.

Jana nilikuwa mahali napata kinywaji na huwa napenda kulipa kwa simu kupitia huduma ya LIPA NAMBA nataka kulipa nakuta huduma haipatikani. Hovyo kabisa.
 
Mtu na heshima zako unatumiaje tigo?
 
Back
Top Bottom