tigo ni miongoni mwa kampuni kubwa za simu hapa nchini tangu enzi za "mobitel" "buzz" na sasa tigo. Ila kwa sasa wamekuwa walaghai/ waongo/ wajanja/ wezi?....... Sijui ni waweke kundi gani?
Ni muda mfupi tigo kupitia huduma yao ya tigo-pesa kwamba unapotuma pesa kwa tigo-pesa kwa kiwango cha elfu kumi na chini yake atalipia au atatozwa shilingi 50 za kitanzania kwa huduma hiyo. Lakini sivyo wafanyavyo! Ukituma kati ya tsh 1,000 hadi 10,000/- wanatoza sh. 550/-. Je huo sio wizi/ utapeli.
Naomba kuwasilisha!