Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 384
- 970
Niende moja kwa moja kwenye mada. Jana nilinunua umeme kwa kupitia simu yangu ya mkononi. Sikujua kuwa kulikuwa na tatizo la kimtandao katika mojawapo ya kampuni ya simu za mkononi ya Tigo au Tanesco wanaouza umeme.
Kibaya zaidi, baada ya kununua umeme, pesa ilikatwa kwenye Tigopesa lakini hakuna ujumbe wowote uliorudi kwangu, si kuletwa Token, kutaarifiwa kama kuna tatizo wala kurudishiwa pesa yangu. Nilisubiri kwa muda mrefu kuokama watanirushia pesa yangu lakini wapi. Sijaona chochote mpaka leo. Sijajua ni nani mwenye tatizo, Tanesco au Tigo. Kama ni wote basi huu ni wizi wa kutisha. Unadhani kwa siku moja wakichukuliwa watu sh 10,000 kila mmoja kwa nchi nzima zitapigwa sh ngapi? Nirudishieni pesa zangu. HUU NI WIZI!
Kibaya zaidi, baada ya kununua umeme, pesa ilikatwa kwenye Tigopesa lakini hakuna ujumbe wowote uliorudi kwangu, si kuletwa Token, kutaarifiwa kama kuna tatizo wala kurudishiwa pesa yangu. Nilisubiri kwa muda mrefu kuokama watanirushia pesa yangu lakini wapi. Sijaona chochote mpaka leo. Sijajua ni nani mwenye tatizo, Tanesco au Tigo. Kama ni wote basi huu ni wizi wa kutisha. Unadhani kwa siku moja wakichukuliwa watu sh 10,000 kila mmoja kwa nchi nzima zitapigwa sh ngapi? Nirudishieni pesa zangu. HUU NI WIZI!