Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Nilidhani ni mimi pekee yangu lakini niliingia kwenye ukurasa wa Tigo Tanzania Facebook nikaona watu wanalalamika.
Mimi nimetuma pesa kutoka Tigo kwenda M Pesa.
Nikarudishiwa ujumbe muamala umekamilika na pesa imetungwa.
Ila mlengwa akasema haijafika.
Kwanza nikadhani ni utani.
Lakini baadae nikajaribu muamala mwingine kujitumia mimi mwenyewe ikawa vile vile. Tigo kunani?
Mimi nimetuma pesa kutoka Tigo kwenda M Pesa.
Nikarudishiwa ujumbe muamala umekamilika na pesa imetungwa.
Ila mlengwa akasema haijafika.
Kwanza nikadhani ni utani.
Lakini baadae nikajaribu muamala mwingine kujitumia mimi mwenyewe ikawa vile vile. Tigo kunani?