Tigo Tanzania, Tsh 2000 hupati hata GB 1

Tigo Tanzania, Tsh 2000 hupati hata GB 1

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Nilikuwa nimeweka vocha yangu ya buku 2 ninunue GB 1! Kuingia kwenye Menu ya Tigo tayari mambo yamegeuka, kwasasa kumbe hiyo GB 2000 hupati hata GB 1 yani! Kweli mpaka kufikia 2025 tutanunua GB 1 ELFU 5.

Screenshot_2022-10-30-21-00-24-77_426a5588c5110cd01d5af17e47adb223.jpg
 

Mitandao ya simu kwasababu imeshajua watanzania ni 'mateja' wa mitandao ya kijamii, wanaweza hata kuwauzia GB moja kwa 20,000 na bado mkanunua. Mtalalamika lakini bado mtanunua tu.

Suluhisho hapa ni watanzania kuacha uteja wa mitandao ya kijamii.
 
Kabla ya 2021
Makampuni yalikuwa yakishindana kwa kutoa ofa, vifurushi vya bei ya chini sana.

Tatizo lilianza alipopewa NAPE Wizara ihusikayo na TCRA..

Wananchi wakalalamika vifurushi vinaisha mapema...

Makampuni yakabanwa, Serikali ikaamua kupanga bei..
Ikawawekea bei za chini na bei za juu

Hapo ndo tatizo lilianzia, ofa zote
Kuanzia night ofa zikauliwa kifo kibaya sana...

Leo twalilia kilio kilichotokana na kilio chetu
 
Kabla ya 2021
Makampuni yalikuwa yakishindana kwa kutoa ofa, vifurushi vya bei ya chini sana.

Tatizo lilianza alipopewa NAPE Wizara ihusikayo na TCRA..

Wananchi wakalalamika vifurushi vinaisha mapema...

Makampuni yakabanwa, Serikali ikaamua kupanga bei..
Ikawawekea bei za chini na bei za juu

Hapo ndo tatizo lilianzia, ofa zote
Kuanzia night ofa zikauliwa kifo kibaya sana...

Leo twalilia kilio kilichotokana na kilio chetu
Hili tatizo halikuanza na Nape, limeanza na yule jamaa enzi za JPM aliyeamka akasema 1mb iwe kiasi fulani cha bei toka hapo things have never been the same again.
Kabla ya TCRA bundle zilikuwa cheap sana
 
Ulivyoandika utafikiri wewe unaishi kongo
Upo sahihi sipo Bongo .... Ni mwendo wa Wifi tu kwa gharama nafuu huku nilipo.
Pambaneni na hari zenu.
 

Attachments

  • Screenshot_20221031-084338.jpg
    Screenshot_20221031-084338.jpg
    77.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom