huu mtandao wamezidi,unaomba huduma e.g sms bundle ,wanakata hela. Ukianza kutumia tena wanakata each sms kwa normal rates,f***k them.
Namba ya huduma kwa wateja "toka kwenye menu yao ya service" nikipiga naambiwa niiangalie vizuri na nipige tena,huu ni upuuzi
li line lao nimelitumbukiza kwenye handset ya mchina kwa ajili ya kupokelea simu... can't even be bothered to top it up!! the network is pants!! halafu jana wamefanya publicity stunt yao ya watu kushinda 4'em kwenye shindano.... don't bother!!
f****k ***iiiigo, wa*****nzi sana hawa jamaaaaaa,namwambia ma watoto atupe line ,nihamie kwenye baaasi kubwaaa,hiki kimwendo wa kobe naona kimepasuka tairi zoote ,wezi tu na bahat nasibu zao