Tigo tuokoeni na balaa la swapping

Tigo tuokoeni na balaa la swapping

cal

New Member
Joined
Aug 6, 2010
Posts
2
Reaction score
1
Wizi wa mtandaono TIGO umekithiri. Tafadhali wahusika msibweteke okoeni jahazi.

Watu kibao wanaibiwa float zao kwenye simu
.
 
Ni kweli mkuu last week kuja jamaa yangu kaibiwa watu wanafanya swapping na kuchukua pesa zao Tigo wanataarifa hizo nadhani technology yao ndogo wanashindwa kuzuia wanakutajia jina tu la aliyekuibia na namba yake unaambiwa ukimpata wao watakuwa mashahidi badala ya kutoa vieleezo vyote cya mtuhumiwa ili atafutwe kiurahisi
 
Hii tigo hii! Imeshakuwa kama genge la wanyang'anyi
 
Unaweza kueleza kidogo, ni vipi hii kitu inafanyika¿?
 
Back
Top Bottom