Ni kweli mkuu last week kuja jamaa yangu kaibiwa watu wanafanya swapping na kuchukua pesa zao Tigo wanataarifa hizo nadhani technology yao ndogo wanashindwa kuzuia wanakutajia jina tu la aliyekuibia na namba yake unaambiwa ukimpata wao watakuwa mashahidi badala ya kutoa vieleezo vyote cya mtuhumiwa ili atafutwe kiurahisi