tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

Kumbe baada ya mwaka 2019 walipoona kuna kesi imefunguliwa wakamuuzia Rostam Aziz akijiona yeye mwamba. Na mwezi wa April mwenyekiti wa millicon kajiuzulu kaona aibu itamkuta
Kampuni ikiuzwa hujui kuwa management hubadilika? Mfano unenunua nyumba yenye wapangaji kwa hiyo mwenye nyumba anatakiwa kuendelea na cheo chake cha kukusanya kodi kwa wapangaji?
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 2
Unajaza server bure,unatiririka uharo!
 
Waliuziana bei gani, na serekali ilipata kodi yake stahiki? Kwenye mauziano walikubaliana kufuta taarifa za nyuma?
 
funfua pdf hizo achana na tetesi
Licha ya kupost pdf content zake hujazielewa au umejazwa ushabiki, TIGO kama kampuni imekufa au ipo? Kubadilishwa kwa wamiliki kunafuta makosa yaliyofanywa na kampuni?

Je TIGO kwenye hizo pdf zako wamekataa makosa au wametaka kesi isikilizwe kwa siri?

Klabu ya Chelsea inachunguzwa kwa makosa ya taratibu za kifedha yaliyofanywa na uongozi wa ibrahimovich na uongozi wa sasa umetoa ushirikiano kwenye uchunguzi huu, kwako inakufundisha lolote?
 
Kampuni ikiuzwa hujui kuwa management hubadilika? Mfano unenunua nyumba yenye wapangaji kwa hiyo mwenye nyumba anatakiwa kuendelea na cheo chake cha kukusanya kodi kwa wapangaji?
Management ikibadilika haimaanishi kuwa data zinafutwa. Vinginevyo pesa za watu kwenye tigo pesa zingepotea.
 
Kampuni ikiuzwa hujui kuwa management hubadilika? Mfano unenunua nyumba yenye wapangaji kwa hiyo mwenye nyumba anatakiwa kuendelea na cheo chake cha kukusanya kodi kwa wapangaji?
Hujaelewa au umekurupuka, millicon iliuza share zake Tanzania lakini iliendelea kubaki ikifanya biashara LatinAmerica, kwa hiyo iliyokuwa inapinga kesi kusikilizwa open court ni kampuni gani?

Millicon imeyza share zake 2022 baada ya kesi kufunguliwa 2019. Kwa hiyo namzungumzia Rostam Aziz aliyenunua TIGO Tanzania siyo millicon
 
athari na matatizo ya mbwembwe na ujuaji mwingi kwenye masuala serious zimeanza kujitokeza..

na kadiri muda unavyosonga unaweza kukuta hiyo kampuni ya millicom haipo kabisa miongoni mwa makampuni hai, ilishafutika kwakua kazi za kuanzishwa kwake zilishatimia na kampuni ikafutika 🐒
 
Baada ya mmiliki mpya ali dissolve kampuni na kuanzisha nyingine? Kama aliendelea nayo kesi bado anayo tu hajaiepuka.
 
Tundu Lissu alisema "wamepata pa kuanzia" kuwajua wasiojulikana....

Hii maana yake ni kuwa, mawakili wake na wataalamu wabobezi wa sheria za biashara wata explore angles zote...

Kwa hiyo, wao wakae na watulie tuli. Ikifika wakati wao wa kujibu tuhuma hizi, watakwenda kujieleza London kwenye mahakama ya Jaji hawezi kupigiwa simu na Ikulu ya Magogoni DSM apindishe haki na hukumu...
 
Kwenye kesi ya Mbowe walifika mahakamani kutoa ushahidi. Tigo ni wahuni hawafai
Halafu wakawa wanatoa ushahidi ukifuatiliwa ni wa kupangwa kabisa. Inshort Tigo imetumika sana na serekali kuendesha uovu hapa nchini.
 
Tigo Lisu haijui vizuri

Millicom International Cellular has finalised the sale of its Tanzanian unit to finish off its multi-year divestment plan from Africa, a move to exclusively focus on Latin American markets.

Millicom announced the sale of Tigo Tanzania to pan-African group Axian in April last year for an undisclosed fee, however, the group has now revealed it will receive net cash of around $100m. Axian will take on Millicom's debts and other obligations in the unit.

Millicom chief executive Mauricio Ramos said: “With today’s announcement that we have completed the divestiture of our African businesses, we close a chapter in our history and open another solely focused on the Latin American region.”

The group also sold off shares in its Ghana joint venture with Bharti Airtel to the government last year, which has taken sole control of Airtel Tigo. It also previously had operations in Chad, the Democratic Republic of Congo, Mauritius, Rwanda and Senegal.

Millicom has ramped up its investments in Latin America, including the expansion of its fixed broadband network to over 20 million.

It will also spin off its fintech Tigo Money unit and portfolio of towers into separate companies. The company has earmarked financial technologies as a key growth driver with an estimated $14 billion in market opportunity in Latin America.

In Guatemala, Millicom assumed full control of a joint venture from a local partner for US$2.2 billion.
 
Sisi hatuna shida na TIGO at first place...

Tuna shida na "wasiojulikana" waliopanga ugaidi wa kumuua Tundu Lissu wakisaidiwa na kampuni ya mawasiliano ya simu ya TIGO, wajulikane...!

Kampuni ya TIGO ipo Tanzania, haijafa, inafanya kazi. Issues za nani mmiliki is not a big deal though it has something to do with whole saga...

TIGO is an accomplice and facilitator of terrorism against humanity...
 
Halafu wakawa wanatoa ushahidi ukifuatiliwa ni wa kupangwa kabisa. Inshort Tigo imetumika sana na serekali kuendesha uovu hapa nchini.
Tigo imeshiriki kukatisha uhai wa Watanzania wengi.
 
Hizo kesi za kimataifa ngumu mno angalia huu mlolongo hapa kuna mambo kibao hata huyo aliyeshtaki uingereza hajui

Millicom International Cellular has finalised the sale of its Tanzanian unit to finish off its multi-year divestment plan from Africa, a move to exclusively focus on Latin American markets.

Millicom announced the sale of Tigo Tanzania to pan-African group Axian in April last year for an undisclosed fee, however, the group has now revealed it will receive net cash of around $100m. Axian will take on Millicom's debts and other obligations in the unit.

Millicom chief executive Mauricio Ramos said: “With today’s announcement that we have completed the divestiture of our African businesses, we close a chapter in our history and open another solely focused on the Latin American region.”

The group also sold off shares in its Ghana joint venture with Bharti Airtel to the government last year, which has taken sole control of Airtel Tigo. It also previously had operations in Chad, the Democratic Republic of Congo, Mauritius, Rwanda and Senegal.

Millicom has ramped up its investments in Latin America, including the expansion of its fixed broadband network to over 20 million.

It will also spin off its fintech Tigo Money unit and portfolio of towers into separate companies. The company has earmarked financial technologies as a key growth driver with an estimated $14 billion in market opportunity in Latin America.

In Guatemala, Millicom assumed full control of a joint venture from a local partner for US$2.2 billion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…