tiGO wajitenga na sakata la kuvuja Taarifa za Tundu Lissu. Wasema mmiliki wa sasa ni mwingine si yule wa nyakati za shambulio!

sasa mbona umepanic kama kweli wewe sio mshirikina gentleman?🤣

sasa si awaumbue tumuone chairman atakavyo chekelea kama sio kuumbuka...

una simu nzuuuri kumbe mfukoni una hirizi, lione chawi hilo 🤣
Kwa mjinga kama wewe kusema kitu usichokifahamu na kuamini na kutaka kukiamini ni kawaida. Ila nilifikiria nazungumza na mtu mzima mwenye akili timamu kumbe ni kitoto kijuha.

Sasa aliyepanic ni mani kati yetu wapenda haki na nyie watesi wetu baada ya Clifford kuwaumbua? Mpiga ramli ni nani kama siyo anayepiga ramli kuwa Clifford atafeli na kesi wauaji nyie mtashinda
 
 
tigo hapo ni circumstantial tu kupata real mtuhumiwa!
 

Matangazo yote na hata ukiweka laini yao haitaji neno HONORA muulize mteja yeyote kama atasema ana laini ya HONORA. Msituchanganye. Usajili wa laini ni TIGO. Siku ikifika mmiliki atajulikana tu.
 

Tigo sio kampuni. Ni jina tu limekaa mbele
Matangazo yao na mabango yao mpaka kwenye tv mpaka Marinyi wanajua Tigo wamelikana lini hilo jina? Itafahamika tu.
 
Tigo hawataweza kujitenga na kashfa hiyo mbaya kwani hiyo ndio michezo yao ambayo wamekuwa wakiicheza miaka yote kabisa ya uhai wa kampuni hiyo ya Tigo. Mimi mwenyewe binafsi ninayeandika maoni haya hapa mtandaoni ni mojawapo wa wahanga wa vitendo viovu ambavyo vimewahi kufanywa na kampuni ya Tigo. Kampuni ya Tigo (i.e Tigo Service Provider) imewahi kushiriki mara nyingi Sana kunifanyia mashambulizi mbalimbali ya kimtandao, mara nyingi Sana nimewahi kutoa madai ya namna hii humu mtandaoni kuhusu suala hili kabla hata ya kuibuka kwa sakata hili linaloendelea hivi Sasa.
Aidha, kampuni ya Tigo wanatakiwa watambue kwamba sisi Watu wengine tunao Ushahidi wa kutosha kuhusu tuhuma zenu tunazowatuhumu nazo, Mimi binafsi nilishauriwa na Wataalamu waliohusika katika kulifuatilia suala langu hilo kwamba nisiliweke suala hilo publicly kutokana na sababu maalumu walizonieleza, lakini kutokana na Maelezo yenu haya na kutokana na kuibuka zaidi kwa shutuma za namna hiyo dhidi yenu, kwa Sasa ninatafakari upya juu ya ushauri huo niliopewa na Wataalamu kuhusu hali ya kuendelea kuliweka suala hili kuwa ni SIRI. Nina mpango wa kuwa-consult tena hao Wataalamu ili waone UMUHIMU wa kuliweka suala langu hili hadharani kwa lengo la kulinda maslahi mapana zaidi ya umma.
 
Utetezi dhaifu sana. Mmiliki wa Tigo wa wakati wa shambulio hata kama angekuwepo kitakachoshitakiwa siyo yeye ni Kampuni ya Tigo.
Hivyo wajiandae tu, ama kumshitaki T.Lisu kwa uzushi, au wao waburuzwe kwa kushiriki uharamia.
 
Hakuna kesi hapo

Mpaka genious Lissu kafungua ujue alishajua nini kitatokea kuhusu brand name na company, Kesi ipo na watalipa tu.

Atlist Celtel, Zain> Airtel wamiliki waliona mbali kila aliyenunua alibadili na jina kabisa kupoteza maboya.
 
Uko sahihi nadhani hizo details anazo, (mwanasheria wake)
 
Lete vifungu vya Sheria
Amabao hamjasoma sheria hu mkiona kitu kinasemwa unaomba vifungu vya sheria.

Ila tuliosoma Bussiness Law na sheria kwa ujumla nilivyoona kasema tu hio point nikajua huyu ni familia anajua hicho kitu.
 
hakuna kampuni inanunua kesi kwa sababu uwezi kumerg kampuni kama ina kesi,
Umezungmza vitu viwili tofauti hadi hapo Merger na Transfer of share ni two different things.

Merger unaunganisha Makampuni mawili tofauti either kua moja na Jina jipya au ku remain na jina lile lile but share zinaendelea kubaki kwa wahusika.

Transfre of share hiii lazima ibadili umiliki wa share.
 
Safari hii kampuni ya tigo tutaishi nayo ,tutafilisi mpaka mnara wa tigo ulio kila pande za Dunia ,dadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…