Tigo wanakata 3% unapohamishiwa salio?

Tigo wanakata 3% unapohamishiwa salio?

Chagga King

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
1,866
Reaction score
1,076
TIGO Tanzania, juzi wakati namuhamishia dogo salio (siyo kifurushi na wala siyo pesa) ili yeye sasa ajiunge na kifurushi akitakacho,

On the process kufikia mwishoni baada ya kuweka amount (angalia picha) naletewa ujumbe wa kwanba mtumiwaji atakatwa 3% ya amount nitakayomtumia.

WHY IS THIS 3%?, WHY!!? inakatwa ya nini on the transfer, wakati mtu huyo bado anakatwa kodi?

Ni sawa na kununua vocha dukani then nikatwe 3%, hii tuiteje?, hii mna discourage watu wanaonunua salio thru mobile transfers.

Mobile transfers imewaletea faida kubwa, kwani imewapunguzia zile gharqma za commissions ambazo huwa mnawalipa mawakala/wauzaji wa vocha zenu, mfano mimi nina miaka mingi sijawahi nunua vocha za karatasi/kukwangua.

Kumbukeni hii siyo pesa, sasa mnapokata salio sijajua mnakata kwa utaratibu upi, yaani salio ninunue mimi then nyie mlikate, salio ni consumables, so mkikata mnapeleka wapi?.

@mods naomba mui share hii kwa wahusika niliowataja, tena kule Instagram, X na Fb ili tupate majibu
 

Attachments

  • Screenshot_20240506_204021_Phone~2.jpg
    Screenshot_20240506_204021_Phone~2.jpg
    119.8 KB · Views: 3
Huwa tunafanya miamala tukiwa tumefumba macho sometimes, hasa pale unapokua huna option nyingine.

Ila jamaa ni wanakwangua vilivyo,nadhani serikali pia inachangia kwa kuwalima kodi vilivyo.
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
TIGO Tanzania, juzi wakati namuhamishia dogo salio (siyo kifurushi na wala siyo pesa) ili yeye sasa ajiunge na kifurushi akitakacho,

On the process kufikia mwishoni baada ya kuweka amount (angalia picha) naletewa ujumbe wa kwanba mtumiwaji atakatwa 3% ya amount nitakayomtumia.

WHY IS THIS 3%?, WHY!!? inakatwa ya nini on the transfer, wakati mtu huyo bado anakatwa kodi?

Ni sawa na kununua vocha dukani then nikatwe 3%, hii tuiteje?, hii mna discourage watu wanaonunua salio thru mobile transfers.

Mobile transfers imewaletea faida kubwa, kwani imewapunguzia zile gharqma za commissions ambazo huwa mnawalipa mawakala/wauzaji wa vocha zenu, mfano mimi nina miaka mingi sijawahi nunua vocha za karatasi/kukwangua.

Kumbukeni hii siyo pesa, sasa mnapokata salio sijajua mnakata kwa utaratibu upi, yaani salio ninunue mimi then nyie mlikate, salio ni consumables, so mkikata mnapeleka wapi?.

@mods naomba mui share hii kwa wahusika niliowataja, tena kule Instagram, X na Fb ili tupate majibu
Daah nimefungua hiyo sms baada ya kumaliza kuisoma nikataka kubonyeza hilo neno CANCEL ndio nashtuka kumbe sio Mimi niliyekuwa nafanya muamala.

Tigo ni kampuni ya simu nchini inayoongoza kuwaibia Wateja wake.
 
Back
Top Bottom