Tigo yaongoza kwa simu za kitapeli Report ya Quarter ya 3 TCRA

Ni kwa sababu vijana wengi wanatumia tigo hivyo ni lazima uhusishe matendo mengi ya vijana
Ni kweli kabisa mkuu, sikuhizi vijana wengi wanapenda tigo.
Ila kuna baadhi ya wazee wanapenda tigo pia.
Mimi katika maisha yangu yote nimeamua kupenda vodacom pekee [emoji16]
 
Kwamba ni rahisi kujisajili mtandao wa tiGO au ni kutokana na wingi wa wateja (ukubwa wa network)?
 
Ofisini kuna jamaa aliiba waya wa kuanikia nguo nafikiri ni nguzo 1 ama 2 toka jan hadi sasa hawajarudisha waya
 
Ttcl wahuni hili shirika lilikuwa enzi za jpm ila kwa sasa noncense tu
Hata enzi za Magufuli halikuwa na kitu kwani walikuwa wanatoa gawio hewa ili kufanya propaganda. Mambo yaliyokuwa yanafanyika kipindi cha Magufuli mengi yalijaa propaganda.
 
Hata enzi za Magufuli halikuwa na kitu kwani walikuwa wanatoa gawio hewa ili kufanya propaganda. Mambo yaliyokuwa yanafanyika kipindi cha Magufuli mengi yalijaa propaganda.
Shirika kwa mlango wa nyuma linajifia.

Magu na kina musiba kwa mlango wa mbele wanakwambia tumepokea gawio.

Yule jamaa sijui alikuwa wa namna gani!
 
Hao TCRA na hayo makampuni ya simu, wote ni wale wale tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…