MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
Msemaji mkuu wa serikali ya DRC, Patrick Muyaya, ametangaza kusitishwa kwa matumizi ya mitandao ya kijamii ya X na Tik Tok, kwa alichokiita kuepuka usambazaji wa taarifa za uongo, zinazopotosha raia na kuwaweka katika hali ya sintofahamu.
Zaidi, google play na yenyewe imezuiliwa ili watu wasiweze kupakua VPN.
Waziri wa mambo ya ndani alipoulizwa, alisema tu ni matatizo ya kiufundi yanayoshughulikiwa, na kwamba punde tu wataalamu watakapoweka mambo sawa, watu wataendelea kutumia.
Watu wengi wameonekana kulalamikia uamuzi huo na kudai ni ukikukwaji wa haki inayolindwa na katika ya DRC, kifungu cha 23 na cha 24.
Zaidi, google play na yenyewe imezuiliwa ili watu wasiweze kupakua VPN.
Waziri wa mambo ya ndani alipoulizwa, alisema tu ni matatizo ya kiufundi yanayoshughulikiwa, na kwamba punde tu wataalamu watakapoweka mambo sawa, watu wataendelea kutumia.
Watu wengi wameonekana kulalamikia uamuzi huo na kudai ni ukikukwaji wa haki inayolindwa na katika ya DRC, kifungu cha 23 na cha 24.