Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mkuu najua huwa kuna tiketi zinatengwa kwa timu mgeni hivyo tiketi watapata tu, lakini kukandwa kupo palepaleš¤£Kama tiketi 62,000 zote zimeisha na wamenunua waarabu wenyewe, najiuliza hawa mashabiki wa Utopolo watapata wap tiketi za kuingia uwanjani kesho, ninazo taarifa kuwa nje ya uwanja kutakuwa na TV, hivyo watashangilia wakiwa nje ya uwanja au watasuburia fungulia mbwa ndio waingie, hakukuwa na faida kwenda huko wakati gemu mnaiangalia kwenye TV.
USM Algeria 2 Yanga 0, Mark my words
Hiyo ni mechi ya fainali lazima kuna tiketi kwa ajili ya timu zote. Umeanza lini kufuatilia mpira?Kama tiketi 62,000 zote zimeisha na wamenunua waarabu wenyewe, najiuliza hawa mashabiki wa Utopolo watapata wap tiketi za kuingia uwanjani kesho, ninazo taarifa kuwa nje ya uwanja kutakuwa na TV, hivyo watashangilia wakiwa nje ya uwanja au watasuburia fungulia mbwa ndio waingie, hakukuwa na faida kwenda huko wakati gemu mnaiangalia kwenye TV.
USM Algeria 2 Yanga 0, Mark my words
Domo fcNasemajeee! Utopolo wameishaaaa kulalekii.View attachment 2643510
Vipi wewe Raja alivyokutafuna kitobo hukwenda Morocco?.Kuna vyura wamelowa tope bado wanaota wanaenda pindua meza bladifakeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zuzu la Simba hili Raja alikutafuna kitobo na ukaenda kukandwa kitobo au umezima data?, Kuku Waheed!.Mtu unajua kabisa unaenda kuliwa kidali lakini unaenda tu
Na hivi una kidali kitamu sijui italiwa style gani andazi weweZuzu la Simba hili Raja alikutafuna kitobo na ukaenda kukandwa kitobo au umezima data?, Kuku Waheed!.
Vipi kitobo kilichoachwa na Raja hakijazibašNa hivi una kidali kitamu sijui italiwa style gani andazi wewe
Labda kama una maanisha mshindi ile kampuni ya sabuniyanga anaibuka mshindi kesho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda kama una maanisha mshindi ile kampuni ya sabuni
Acha iwatese[emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172]Kwani wakifungwa mnateseka sana na wakishinda napo mnateseka sana duuuuu yaani Yanga inawatesa sana!!!!