huna akili kwaio timu kufungwa unataka viongozi waondoke ili upewe wewe timu au huna hela kaa nyumban ucheze nashemej yakoMimi mwenyewe siendi na naombea tufungwe. Nimekerwa viongozi kugoma kuwajibika, wakaishia kumwajibisha kocha pekee. Wao madudu yao hawayaoni? Jumamosi ndo watatuelewa sisi ni akina nani.
Niite mbwaMechi ya kesho italeta utulivu Msimbazi na tiketi zitaisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kifuatacho ni kusomba watu kwenye mafuso kama CCM
Kuelekea Simba day tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio. Simba SC ilitangaza tiketi zote zimeisha siku (2) kabla ya Mchezo.
Kuelekea African Football League tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio.
Michezo ya mwisho ya Simba :
◎ Simba 2 - 2 Al-Ahly Cairo
◎ Al-Ahly Cairo 1 - 1 Simba
◉ Simba 2 - 1 Ihefu
◎ Simba 1 - 5 Yanga
◉ Simba 1 - 1 Namungo
Zikiwa zimesalia saa kadhaa Kuelekea mchezo dhidi ya ASEC Mimosas mpaka sasa tiketi za Platinum ambazo huwa hazizidi (200) hazijaisha ikiwa tiketi zilianza kuuzwa wiki 1+ iliyopita. Hakuna sold out ya eneo lolote mpaka sasa.
Utaratibu wa Simba SC kuonesha graph ya mauzo ya tiketi awamu hii haupo kwa sababu ni tiketi chache sana zilizouzwa kiasi kwamba uongozi wa Simba kupitia kwa Mo Dewji umeamua kushusha bei ya tiketi za mzunguko ambapo ndipo hukaa mashabiki wengi. (Elfu 40) kutoka Tsh elfu (5) hadi elfu (3).
Bila shaka yoyote, hali ikienda hivi Jumamosi watu wataingia bure (Fungulia mbwa).
𝗜𝗻𝗮𝘁𝘂𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶?
Hii inatufundisha viongozi, mashabiki na wadau wa soka kuwa, MATOKEO BORA UWANJANI ndio HAMASA kubwa inayoweza kuwaleta Watazamaji uwanjani...
Na sio kitu kingine.
Kutoka mtandao X/TWITTER
Heshima mbona ipo pale pale, mimi ni shabiki naishabikia team muda wote. Shabiki anayerudigi nyuma mara nyingi huwa ni malaya tu wa ushabiki, na hao mashabiki wa hivyo wapo wengi sana hapa jf, mtoa mada ni mmoja wao.Kikubwa mshinde ili kurudisha imani ya mashabiki
We kenge wa kijivu, nimesema SIENDI hivyo usinipigie kelele kwa uamuzi wangu mwenyewe. Na hata hao wengine wanaosema HAWAENDI wanasimamia misimamo yao binafsi. Wewe nenda ukakae kwenye jukwaa tupu, seat zipo mpaka za kukalisha chupa zako za soda na maji.huna akili kwaio timu kufungwa unataka viongozi waondoke ili upewe wewe timu au huna hela kaa nyumban ucheze nashemej yako
Mbona kama unaumia Sana ,, Wenye Simba yetu hatujasusia timu. Sisi siyo mashabiki maandazi eti tushindwe kusapoti timu Kwa kufungwa na utopolo Tena Kwa ulozi wao. Tunaendelea kununua ticket nenda kwenye vituo kashuhudie acha kupiga ramli za jangwani.Kuelekea Simba day tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio. Simba SC ilitangaza tiketi zote zimeisha siku (2) kabla ya Mchezo.
Kuelekea African Football League tiketi za Platinum ziliisha ndani ya siku moja, wiki moja kabla ya tukio.
Michezo ya mwisho ya Simba :
◎ Simba 2 - 2 Al-Ahly Cairo
◎ Al-Ahly Cairo 1 - 1 Simba
◉ Simba 2 - 1 Ihefu
◎ Simba 1 - 5 Yanga
◉ Simba 1 - 1 Namungo
Zikiwa zimesalia saa kadhaa Kuelekea mchezo dhidi ya ASEC Mimosas mpaka sasa tiketi za Platinum ambazo huwa hazizidi (200) hazijaisha ikiwa tiketi zilianza kuuzwa wiki 1+ iliyopita. Hakuna sold out ya eneo lolote mpaka sasa.
Utaratibu wa Simba SC kuonesha graph ya mauzo ya tiketi awamu hii haupo kwa sababu ni tiketi chache sana zilizouzwa kiasi kwamba uongozi wa Simba kupitia kwa Mo Dewji umeamua kushusha bei ya tiketi za mzunguko ambapo ndipo hukaa mashabiki wengi. (Elfu 40) kutoka Tsh elfu (5) hadi elfu (3).
Bila shaka yoyote, hali ikienda hivi Jumamosi watu wataingia bure (Fungulia mbwa).
𝗜𝗻𝗮𝘁𝘂𝗳𝘂𝗻𝗱𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶?
Hii inatufundisha viongozi, mashabiki na wadau wa soka kuwa, MATOKEO BORA UWANJANI ndio HAMASA kubwa inayoweza kuwaleta Watazamaji uwanjani...
Na sio kitu kingine.
Kutoka mtandao X/TWITTER