Tiketi mechi ya Simba vs Yanga

Dtosquiz

Member
Joined
Nov 16, 2015
Posts
25
Reaction score
16
Hivi kesho tiketi za mechi ya Simba vs Yanga zitakuwa zinapatikana pale uwanjani??
Naombeni msaada jamani kama nimechelewa kuchukua tiketi kimuhemuhe kilikuwa kinasumbua.
 
kadi za selcom zinapatikana kama njugu hauhitaji picha wala barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa wala kwa mjumbe. Nunua moja na upate faida za matumizi ya kadi za selcom.
Huwa wanauza hata pale uwanjani.
Vipi ukiwa hauna hiyo kadi ya celcom??
 
Asanteni watu wangu wa nguvu Mwisho wa siku nilifanikiwa kuingia uwanjan na kichek game ila kilichonikuta sio cha kusimulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…