Tiketi za kielektroniki

Tiketi za kielektroniki

godson njamakuya

Senior Member
Joined
Mar 6, 2021
Posts
170
Reaction score
196
Nimesikia kwamba utaratibu wa kutumia tiketi za kielektroniki umeanza rasmi tarehe ya leo. Tunaambiwa tukate tiketi ya Bus husika online, tunatambua sio Kampuni zote za Mabasi zina website sasa sijui itakuwaje. Mwenye uelewa kuhusu utaratibu huu naomba anieleweshe zaidi.
 
Mkuu sidhani kama tupo tayari kutumia mfumo huu maana mfumo huu ni lazima uendane na kumtambua mnunuzi wa ticket au anayenunuliwa ticket naona systems yetu haiongei kabisa, watu mpaka leo malalamiko kibao kuhusu NIDA, wengi hawana hizi ID numbers, kwangu NIDA ningefutilia mbali (ni wezi tu)ni Home Affairs wenye wajibu ea kutunza ledger ya raia wa nchi hii,buck stops with them
 
Nenda booking ofisi ya bus husika utakatiwa ticket ya ki electronic.
 
Back
Top Bottom