Tikiti la Masika

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
784
Reaction score
327
Habari wadau..

Naomba kuuliza kwa wakulima wa matikiti.

Nimelima sana tikiti lakini wakati wa kiangazi ambazo huwa nakata maji kuanzia siku ya 50 mpaka 55. Nalimia maeneo ya Kigamboni.

Je, kipindi hiki cha masika ambacho jua halipo sana nitarajie ukuaji huu huu au mmea utachelewa kukomaa na utachukua siku nyingi zaidi??

Magonjwa gani nitarajie zaidi kipindi hiki cha mvua nyingi?? Na dawa gani zitafaa zaidi.
 
Dawa huwa ni dudu all,match na selecrom nenda kariakoo sokoni utazipata

Lakini kama kuna ukungu na unyevu nyevu weka blue copper au ebony utaipata duka la pembejeo
 
Dawa huwa ni dudu all,match na selecrom nenda kariakoo sokoni utazipata

Lakini kama kuna ukungu na unyevu nyevu weka blue copper au ebony utaipata duka la pembejeo
 
Haari yako ndugu
Nimeona post yako kuhusu tikti za masika na kiangazi

Ila mm ninaomba kujua kuhusu muda wakuweka maji kwa wingi shamba la tikitik nikuanzia siku ys ngap had ya ngap??

Na je iliposema unakata maji kuanzia siku ya 55 una maanisha baada ya hapo huweki maji kabisa mpaka kivuna!? Je kuvuna inakuwa siku ya ngap??
 
Nimelima toka mwiezi jana na nimekutana na mvua. Changamoto hapa ni wadudu wengi na ukungu. Naambatanisha picha ya changamoto nilizokutana nazo
 

Attachments

  • 20181010_134803.jpg
    381.4 KB · Views: 112
  • 20181010_123641.jpg
    289 KB · Views: 77
  • 20181007_124449.jpg
    176.3 KB · Views: 72
  • 20181002_110041.jpg
    485.4 KB · Views: 68
  • 20180928_151139.jpg
    450 KB · Views: 63
  • 20180927_074015.jpg
    570.5 KB · Views: 76
  • 20181010_134720.jpg
    196 KB · Views: 68
  • 20181002_110238.jpg
    145.9 KB · Views: 67
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…