TikTok inajiandaa kufunga App yake kwa watumiaji wa Marekani Jumapili, Januari 19

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
TikTok inajipanga kuzima huduma ya App yake kwa watumiaji wa Marekani kuanzia Jumapili hii ya Januari 19, iwapo Mahakama ya Juu haitazuia marufuku hiyo, kwa mujibu wa ripoti ya The Information.

Soma: TikTok yapewa muda hadi Januari 19, 2025 iwe imeuza hisa zake kwa mwekezaji wa Marekani au ifungiwe

Muktadha: Kulingana na watu walioko karibu na suala hilo, hata wale ambao tayari wamepakua App hiyo hawataweza kuendelea kuitumia. Badala yake, watumiaji wataona ujumbe wa 'pop-up' unaowaelekeza kuhusu marufuku hiyo.
 
Wamarekani wengi wameanza kuhamia mtandao mwingine wa China Xionghongshu (Red Note)

Kupitia Red Note Wamarekani wameanza kuengage na Wachina na wameanza kugundua kuwa habari nyingi walizokuwa wanazipata kupitia media za Marekani ni propaganda wameanza kujionea hali halisi ya China

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…