Tiktok inatuhumiwa kuchukua 70% ya donations ambazo wanatumiwa wakimbizi

Tiktok inatuhumiwa kuchukua 70% ya donations ambazo wanatumiwa wakimbizi

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Watoto ambao ni wakimbizi huko Syria wamekuwa wakitengeneza videos ambazo wanaziweka Tiktok kisha watu wanaweza kuwatumia vitu vinaitwa diamonds ambavyo wanaweza kuvibadili kuwa pesa na kuitoa. Lakini, Tiktok huchukua 70% ya hizo donations na pia agent ambapo wanaenda kutoa pesa nao wanawakata pesa.

Mwandishi wa habari wa Aljazeera alijaribu kumtumia diamonds mkimbizi zenye thamank ya $106, lakini mpaka anachukua hiyo pesa kwa agent aliambulia $19 tu.

Walipoulizwa Tiktok kuhusu hilo, walijibu kuwa maudhui hayo hayaruhusiwi kwenye platform yao ndio maana wanaya discourage.
 
Wakati hayo maudhui wakiyaendeleza ndio watapiga pesa kuliko hata Apple na Google
 
Shame nimeiona BBC leo ni AIBU, lakini si ajabu nchi nyingi za kijamaa zina mambo ya kishenzi shenzi kila sehemu.
 
Wachina wapumbavu sana.
Wachina wengi choka mbaya kama waswahili tu, sema watu wakisikia China ya pili kwa uchumi mkubwa duniani wanahis raia wa hilo taifa nao ni matajiri wa kufa mtu kumbe walaaaaaa, utajiri wote upo serikalini.
 
Back
Top Bottom