Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Watoto ambao ni wakimbizi huko Syria wamekuwa wakitengeneza videos ambazo wanaziweka Tiktok kisha watu wanaweza kuwatumia vitu vinaitwa diamonds ambavyo wanaweza kuvibadili kuwa pesa na kuitoa. Lakini, Tiktok huchukua 70% ya hizo donations na pia agent ambapo wanaenda kutoa pesa nao wanawakata pesa.
Mwandishi wa habari wa Aljazeera alijaribu kumtumia diamonds mkimbizi zenye thamank ya $106, lakini mpaka anachukua hiyo pesa kwa agent aliambulia $19 tu.
Walipoulizwa Tiktok kuhusu hilo, walijibu kuwa maudhui hayo hayaruhusiwi kwenye platform yao ndio maana wanaya discourage.
Mwandishi wa habari wa Aljazeera alijaribu kumtumia diamonds mkimbizi zenye thamank ya $106, lakini mpaka anachukua hiyo pesa kwa agent aliambulia $19 tu.
Walipoulizwa Tiktok kuhusu hilo, walijibu kuwa maudhui hayo hayaruhusiwi kwenye platform yao ndio maana wanaya discourage.