Timaya ft Kiba

Mpanda nyangobe

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
762
Reaction score
1,688
hii kitu weka mbali na watoto..naona wasanii wa west africa wameanza kumuelewa kiba.
 
Comment namba #4 imeniacha hoi usiku huu

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Wimbo sijawahi kuusilikiza lakini mbaya.
 
Timaya ni moja ya wasanii ninaowakubali mno.... Kama kiba hajapwaya kwenye hiyo ngoma basi mwanzo mzuri kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…