Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
minywele kama hii [emoji117][emoji144][emoji66] [emoji12]Wanawake wana vituko sana akienda kuhojiwa hata kwenye TV show flani basi utakuta kavalia ile minywele yao fake basi kila muda anaongea anairusha rusha nyuma anajiona mzungu[emoji23] [emoji23]
Hii comment hiiHuyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Ahaha wee jamaa Wewe!Wanawake wana vituko sana akienda kuhojiwa hata kwenye TV show flani basi utakuta kavalia ile minywele yao fake basi kila muda anaongea anairusha rusha nyuma anajiona mzungu[emoji23] [emoji23]
Ila nadhani na mimi nimerogwa mi ile mofupa naitamani kinoma! Wakati kwa kawaida am sucker kwa vyura sijui fupa yule kanifanya nini wallahi!Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Ah ah ah ah ahHuyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Wakishavaa mawigi, wakaweka rangi za kope, na angel faces wanakua kama jini basi wanahisi ni wazuri balaa lakini hamna kitu kabisa. Kunako 6x6 ndo bureee kabisa hamna lolote.Wanawake wana vituko sana akienda kuhojiwa hata kwenye TV show flani basi utakuta kavalia ile minywele yao fake basi kila muda anaongea anairusha rusha nyuma anajiona mzungu[emoji23] [emoji23]