Timbulo amtumia salam Vanessa Mdee, amuambia kama alikuwa hamjui basi keshamjua

Status
Not open for further replies.
Nilishasema hawa madada zetu ni shida hata ukimsifia kidogo tu tiyari nyodo sasa usiombe awe na umaarufu kidogo ndo shida kabisa.
 
siriaz wanaboa sana, , kwann wasiwe natural!! kwa mfano wakikaa na nick minaji akirusha nywele nao wanarusha nywele,,,hawajui kama wanachekwa!! Basi wapunguze kidogo! au wazikuze nywele zao! Na kama ni kuvaa wigi au kubond walijaribu kuweka reasonable size!
 
Mkuu ulitaka ajiite jina la kizungu au ndio nyinyi hata mnayakataa majina yenu ya asili
 
Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Kuna Nyimbo Tulikua Tunaimba Ujanani.
"kafanya Mungu kafanya,kafanya Mungu kafanya,kampa kiuno tako hanaaaaaa"
 
Wanawake wana vituko sana akienda kuhojiwa hata kwenye TV show flani basi utakuta kavalia ile minywele yao fake basi kila muda anaongea anairusha rusha nyuma anajiona mzungu[emoji23] [emoji23]
Hawa akili zao wanazijua wenyewe... anaeza kunyoa nyusi zote halafu akapaka rangi nyeus sehem ile ile aliyonyoa nyusi.. yaani waschana bwana
 
Yani anajifake fake kama mwanasesere vile.
Ila ni mbaya honestly
Mkuu, mwanzoni haka kabinti nakaona kalikuwa "kanahost" BSS kalikuwa kazuri kweli na uhalisia wake,ngozi nzuri wala kalikuwa hakana kupaka mauchafu usoni..

Ila sasa hivi nmekuja kukaona kako kama mwiba..sijui kamekuwaje??
 
Huyu timbulo kweli domo lake ni zito!

Udomo zege wake kaudhihirisha rasmi, hapa kuna kitu anakihitaji kwa V money ndio ivyo hana uwezo wa kufunguka
 
Kwani lazima Vanessa? Si aimbe na JayDee
 
Timbulo nae analeta mambo ya kike.

Hiyo swala kaanza kuliimba toka mwaka jana mpaka Leo bado analia lia....Kwa muda ambao Timbulo anao kwenye game Vanessa ni kama mdogo wake kuanzia muziki mpaka umri kumlilia lilia Kwa ajili ya kubania Collabo ni upuuzi tu.
 
Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
Hahahahaaaaa never get bored once u r in jf....
 
Wanawake wana vituko sana akienda kuhojiwa hata kwenye TV show flani basi utakuta kavalia ile minywele yao fake basi kila muda anaongea anairusha rusha nyuma anajiona mzungu[emoji23] [emoji23]
Yan kabsa wanavyojizungusha na hayo manywele utafikiri wamezaliwa nazo kumbe mbwembwe tu na maringo wakishuka kimuziki wanachooka
 
Huyo dada nilimpenda zamani wakati yuko mtv!
Alikuwa orijino!
Ila siku hizi kawa too fake!
Bahati nzuri Mungu kujua hilo,akamnyima na tako!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…