Timbwili la Mzee Magoma limezimwa, ameinusuru Simba.

Timbwili la Mzee Magoma limezimwa, ameinusuru Simba.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hakuna Magoma tena, punzi imekata. Akina Magoma wako wengi sana pale Simba na Yanga (kulwa na doto), wale wa Simba walikuwa wakisubiria waone Magoma wa Yanga atanufaikaje na kesi ili nao walianzishe. Kushindwa kesi kwa Mzee Magoma na wenzake ni manusura kwa Simba.

Wachambuzi na wanahabari wetu msishabikie vitu vinavyourudisha nyuma mpira wetu, tafuteni maudhui wenye kuusogeza mbele mpira wetu. Ni aibu chombo cha habari kulala sebuleni kwa mzee Magoma ili kupata maudhui ya kuchochea Yanga isambaratike.
 
Hakuna Magoma tena, punzi imekata. Akina Magoma wako wengi sana pale Simba na Yanga (kulwa na doto), wale wa Simba walikuwa wakisubiria waone Magoma wa Yanga atanufaikaje na kesi ili nao walianzishe. Kushindwa kesi kwa Mzee Magoma na wenzake ni manusura kwa Simba.

Wachambuzi na wanahabari wetu msishabikie vitu vinavyourudisha nyuma mpira wetu, tafuteni maudhui wenye kuusogeza mbele mpira wetu. Ni aibu chombo cha habari kulala sebuleni kwa mzee Magoma ili kupata maudhui ya kuchochea Yanga isambaratike.
Asante kwa taarifa
 
Kwamba ameanguka kutoka kwenye kiti, hakufika mbali, asante sana
Kama alianguka kutoka kwenye kiti(Kisutu) tu hapo akatakiwa alipe 70m gharama ya kesi, je, kama akienda kuanguka kutoka kwenye mnazi (Mahakama kuu/Rufaa) atatakiwa kulipa ngapi?. Ashauriwe mapema.
 
Back
Top Bottom