Asante kwa taarifaHakuna Magoma tena, punzi imekata. Akina Magoma wako wengi sana pale Simba na Yanga (kulwa na doto), wale wa Simba walikuwa wakisubiria waone Magoma wa Yanga atanufaikaje na kesi ili nao walianzishe. Kushindwa kesi kwa Mzee Magoma na wenzake ni manusura kwa Simba.
Wachambuzi na wanahabari wetu msishabikie vitu vinavyourudisha nyuma mpira wetu, tafuteni maudhui wenye kuusogeza mbele mpira wetu. Ni aibu chombo cha habari kulala sebuleni kwa mzee Magoma ili kupata maudhui ya kuchochea Yanga isambaratike.
Ameshindwa Rufaa?Wanaomtaka Mzee Magoma (S500) wamfuate kwake, anayo mengine ya kuandika mbali na Yanga.
Kwamba ameanguka kutoka kwenye kiti, hakufika mbali, asante sanaRufaa!!! juu sana huko. Kwani hajui tofauti kati ya kuanguka kwenye kiti na kuanguka juu ya mnazi?
Kama alianguka kutoka kwenye kiti(Kisutu) tu hapo akatakiwa alipe 70m gharama ya kesi, je, kama akienda kuanguka kutoka kwenye mnazi (Mahakama kuu/Rufaa) atatakiwa kulipa ngapi?. Ashauriwe mapema.Kwamba ameanguka kutoka kwenye kiti, hakufika mbali, asante sana
Goba kama unaekekea madale kuna pub inaitwa MASHANGAZI, karibu siku Moja ujumuike na MIJISHANGAZI wenzioYanga ni .... wa Simba
mumeYanga ni .... wa Simba