Time after time Waafrika tunachukulika kirahisi na uchumi wa nchi zetu kukua kwenye graphs za kwenye makaratasi.

Time after time Waafrika tunachukulika kirahisi na uchumi wa nchi zetu kukua kwenye graphs za kwenye makaratasi.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mimi sio mwana uchumi, niko tayari pia kuelekezwa na kupigwa

ILA,

Ila naamini Uchumi sio hesabu.

Haya ma-graphs ni techniques za serikali zetu kujionesha wanafanya jambo.

Binafsi naamini kipimo bora cha uchumi ni kupima ukuaji wa ubora wa maisha wa jamii masikini sana kulingana na huduma bora zilizopelekwa kwa haki katika jamii masikini zile.

Mi naona haya magraphs wanayotutolea kila siku yanatokana na patterns ambazo sio the real represantation ya maisha halisi ya watu mtaani, yani ni kama wanapima ukuaji wa maisha wa mtu aliekuwa na maisha bora kwa miaka 20 au 30 mfululizo.

Yani ni kama represantation zao ni kuhusiana ni UKUAJI wa fedha wanazopata kutokana na kuongezeka kwa mianya ya kunyonya fedha za watu ila sio UKUAJI wa ubora wa maisha na akiba kwa wananchi wa kawaida sana.
 
Umeshakiri kuwa wewe sio mwana uchumi hivyo kujaribu kuzungumzia jambo usilolielewa ni matumizi mabaya ya ubongo.
Unataka kusema hali ya maisha ya watanzania ipo vile vile?Hakuna mabadiliko?
Graphs ni vitenda kazi vinavyotumika kuonyesha ukuaji wa uchumi au kudorora kwa uchumi katika muda fulani.
 
Umeshakiri kuwa wewe sio mwana uchumi hivyo kujaribu kuzungumzia jambo usilolielewa ni matumizi mabaya ya ubongo.
Unataka kusema hali ya maisha ya watanzania ipo vile vile?Hakuna mabadiliko?
Graphs ni vitenda kazi vinavyotumika kuonyesha ukuaji wa uchumi au kudorora kwa uchumi katika muda fulani.
Hivi mwanauchumi wa kwanza ni nani??
 
Back
Top Bottom