Mejasoko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 298
- 600
According to the Bible analyst, Melkizedeck aliyekua Kuhani Mkuu na Mfalme wa Salem na kupokea fungu la kumi na kumbariki baba wa Imani ndio huyo huyo Jesus Christ (Yesu Kristo) na Nabii Elia alirudi kama nafsi (soul) kwenye mwili wa Yohana Mbatizaji, je hizi zana sio Future Travel au Incarnation tu?
Tunaambiwa kwenye ufunuo Mwanakondoo alishachinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, so kusulubiwa kwa Yesu was a just time travel tu?
Mungu anatangaza mwisho kutoka mwanzo so Time Travel ni spiritual concept more than scientific proof?
Wajuvi naomba tuelimishane hapa
Tunaambiwa kwenye ufunuo Mwanakondoo alishachinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, so kusulubiwa kwa Yesu was a just time travel tu?
Mungu anatangaza mwisho kutoka mwanzo so Time Travel ni spiritual concept more than scientific proof?
Wajuvi naomba tuelimishane hapa