Du hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
[emoji41]afu sperms ya father ako ika baki ina elea hewani etDu hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
Kwaiyo existence yangu itakuwaje? Au ndio itatakiwa niwe erased from existence?[emoji41]afu sperms ya father ako ika baki ina elea hewani et
Exactly. You will cease to exist theoretically maana timeline itabadilikaKwaiyo existence yangu itakuwaje? Au ndio itatakiwa niwe erased from existence?
Utaendelea kuwepo hautapotea sababu unaporudi nyuma haimaanishi upo ndani ya muda wako ni umehamia ndani ya muda mwingine kabisa ambao upo parallel na wako!!.. Utakachokuwa umefanya ni kudisturb muda wao tu lakini existance yako itabaki pale pale!.Du hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
Au warudi wamuue Lucifer aliyeleta matatizo duniani lakini nimesoma kwamba ukisafiri kwa realm nyingine kurudi nyuma Huwezi na huruhusiwi kubadilisha chochote turudi nyuma tumzuie Hitler kuanzisha vita vya duniaIts strictly prohibited to travel back in time, kwa sababu binadam tutafanya mambo ya ajabu sana
Mfano unaonaje mtu akarudi nyuma na muda akaenda kuwauwa mitume wote.
Ninachoweza fikili kama man kind wataweza ku crack hii puzzle basi hata uki move back in time the time its self will not allow you to disturb the events.
But travel to the future is possible ukiweza kucross kwenye at the fronts of black hole,it will be ur ticket to future
Wewe hii mada yako imejadiliwa kupitia Hitler's murder paradox ukirudi kumzuia hitler utakachofanya ni kucontradict present na past yako sababu present inaitegemea sana past kudetermine kinachoendelea na hitler ni mchango mkubwa sana kwenye present ina maana ukimuua, watoto na all that happened kwenye present yake itajicontradict na all that happened kwenye present yako!..Au warudi wamuue Lucifer aliyeleta matatizo duniani lakini nimesoma kwamba ukisafiri kwa realm nyingine kurudi nyuma Huwezi na huruhusiwi kubadilisha chochote turudi nyuma tumzuie Hitler kuanzisha vita vya dunia
Mkuu kwenye huu mfano wako kuna kitu nashindwa kuelewa..Muda, kama nilivyosema hapo juu, si mmoja kwa matukio yote.
Hili si wazo jepesi kulielewa.
Muda unategemea na mwendokasi wa kitu, pamoja na nguvu za uvutano.
Kitu chenye mwendokasi mkubwa, kwa sababu ya mwendokasi huo, kinapunguza kasi ya kipita kwa muda.
Kitu ambacho kipo katika nguvu ya uvutano kubwa sana (kwa mfano karibu na nyota kama jua, au karinu na "black hole") kinapunguza kasi ya kipita kwa musa.
Kujibu swali lako, kusimamisha muda ni kusimamisha matukio yote kwa kile kitu kilichosimamisha muda, lakini hilo halina maana matukio yote yatasimama kwa ulimwengu wote. Matukio yataendelea ulimwenguni, lakini kwa kile kitu kilichosimamisha muda, muda utakuwa umesimama, na hivyo matukio yote yatasimama.
Nikirudi kwenye mfano wa mapacha wawili waliozaliwa siku moja, halafu walipofika miaka kumi Kulwa akapanda starship iliyokwenda kwa kasi ya mwanga (ukienda kwa kasi ya mwanga unasimamisha muda, hii haiwezekani kama nilivyoonyesha hapo juu ila natumia kama mfano kujibu seali lako). So Kulwa akisafiri kwa muda wa miaka 50 kwa mujibu wa Doto, alirudi duniani atamkuta Doto ana miaka 60 wakati Kulwa atakuwa na miaka ile ile 10.
Kwa Kulwa, matukio yote yatasimama. Kwa Doto na wengine wote duniani, matukio yataendelea kama kawaida.
Historia yako itabadilika unaweza ukaruɗi huku ukajukuta umegeuka kuwa chura..Kwaiyo existence yangu itakuwaje? Au ndio itatakiwa niwe erased from existence?
Mkuu how is that possible to cross the black hole so as to go future??Its strictly prohibited to travel back in time, kwa sababu binadam tutafanya mambo ya ajabu sana
Mfano unaonaje mtu akarudi nyuma na muda akaenda kuwauwa mitume wote.
Ninachoweza fikili kama man kind wataweza ku crack hii puzzle basi hata uki move back in time the time its self will not allow you to disturb the events.
But travel to the future is possible ukiweza kucross kwenye at the fronts of black hole,it will be ur ticket to future
Dah swali lako ni hatr mkuu ila ninachowaza mimi ni kwamba vitu vilivopita haviwezi ku be affected ila utawez kurud na ku observe pekee and not destroy themDu hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
Tunawaza pamoja mkuuUtaendelea kuwepo hautapotea sababu unaporudi nyuma haimaanishi upo ndani ya muda wako ni umehamia ndani ya muda mwingine kabisa ambao upo parallel na wako!!.. Utakachokuwa umefanya ni kudisturb muda wao tu lakini existance yako itabaki pale pale!.
Kasome The Grandfather paradox na The Bootstrap Paradox
Dah jf ni patam kuna watu mnawaza nje ya box san na ndo inatakiwa iwe ivo kwan hapo ndo unatumia uwezo na akil yako kwa kiwango cha rami (this is serious nt joke)Historia yako itabadilika unaweza ukaruɗi huku ukajukuta umegeuka kuwa chura..
Kwa mujibu wa relativity, kwa huyo Kulwa, kila kitu kitakuwa cha kawaida, yani ataona muda unaenda kama kawaida.Mkuu kwenye huu mfano wako kuna kitu nashindwa kuelewa..
Huyu kulwa anapopanda starship na kusafiri kwa kasi ya mwanga anarudi na kumkuta dotto ana miaka 60 ilhali yeye yupo vilevile kama alivyoondoka
Ina maana miaka kwa hiyo miaka 50 anapokuwa kwenye starship mwili wake unakua haufanyi kazi?(freeze).. Kwamba katika hiyo safari yake hakuna atakachoona huko anapokwenda sababu muda umesimama?
hata moyo utakuwa haudundi na viungo vyote mwilini vinasimama kwa miaka 50?