Timetable hii kwa mbongo hata umpe mshahara kidogo atakubali

Labda ofisi ya babu yako na awe amekudekeza mpaka mwisho...
 
Sishangai mbona wapo watu kama hawa Maofisini mwetu!!!!! Au naongopa jamani??
 
That shows how wavivu tulivyo, lakini tunapenda kuishi maisha ya juu and then tunataka maendeleo. Ha haaa kwa staili hiyo tutabaki tunapiga gwaride mwanzo mwisho. Ufisadi ndo umefika hm kwa mtindo huo.
 
Labda ofisi ya babu yako na awe amekudekeza mpaka mwisho...

Mbona ndivyo ilivyo..... tena hapo kama ni Jumatatu ongezea nusu saa ya kubishana kuhusu game la Jumamosi..., na kama 2 hours za kuongea kwenye simu kwa kutumia landline ya ofisi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…