Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,Naomba kujua manake kelele ni mingi sana joo
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kwa sababu gani wakafungiwaMwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,
Fanya utafiti ba mzee..., sasa wamerudishwa..,Kwa sababu gani wakafungiwa
Mashabiki wa Simba wanatufanya Tanzania ionekane imejaza wajinga.Mwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,
Mwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,
Mtoa mada kazingua Sana, ujinga Ni kitu kibaya SanaMwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,
Google kama anavyosema MZEE MPILI!Kwa sababu gani wakafungiwa
kama kawaida Tu 😂😂😂Hta mngekuwepo mngefanya nn kwa timu za Tanzania
Kenya wabishi awaache fursa.Watakumbia Sinba kwasababu ya Onyango
Hata kama wasingekuwa banned Kenya vilabu vyake haviwezi kushindanishwa hata na timu za daraja LA pili huku kwetu. Kenya wako nyuma sana kisoka. Wapo wanafagilia ligi ya uingereza kama yaoMwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,
Apart from last year ban, when you were in the champion's league in recent yearsMwaka jana Kenya ilikua banned by fifa kushiriki michezo yoyote ya fifa or CAF na ndiyo maana ya kukosa kwenye mashindano.., kuwa unafanya utafiti kabla ya kukurupuka, uzembe wenu unakera sana.., mbona mko hovyo kifikra hivi wengi wenu? khaa.., tafuteni elimu angalau..,
hivi mpo namba ngapi kwenye fifa rankings na wachezaji wangapi wanaocheza ligi za ulaya sio ligi uchwaraHata kama wasingekuwa banned Kenya vilabu vyake haviwezi kushindanishwa hata na timu za daraja LA pili huku kwetu. Kenya wako nyuma sana kisoka. Wapo wanafagilia ligi ya uingereza kama yao
Ligi yetu ni namba tano kwa ubora afrika.hivi mpo namba ngapi kwenye fifa rankings na wachezaji wangapi wanaocheza ligi za ulaya sio ligi uchwara
Sasa kwa kuwa ligi yenu ipo Bora kuliko ligi ya Nigeria, mumeishinda Nigeria kisoka kivipi kama sio ushabiki uchwara wa simba na yangaLigi yetu ni namba tano kwa ubora afrika.
Tulia wew kilandage kaandamane upate unga ulishe familia. Bus LA gormahia lilipigwa mnada kufidia gharama za hotelini. Poor kenya