Timu inakimbia hovyo uwanjani, Mo atuachie timu yetu Ong bak aondoke

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Acha unafki simba kwa sasa ni team nzuri kuliko ya msimu uliopita marekebisho ni madogo tu.
 
Makolo wanatia huruma sana!
Muunganiko wa Mo,Mangungo,Mikwala na Fred funga funga umeshindwa kazi!!
 
Sisi wenye Simba yetu tumekubaliana timu tunaipa mwezi mmoja, ukijumlisha na zile wiki tano itakuwa na miezi miwili. Sasa wewe ni nani unayetupigua kelele hapa?.

Utopolo wameshinda lkn hawana Raha yaani wamejawa na hofu kuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…