Duh ingekuwa stars rojorojo tungefungwa 20
Hawa wajerumani hawana huruma kabisa si wakiume au wakike,magoli yote hayo ya nini
U Germany hujituma sana aisee sio ka wa huku.
Ukila na Kipofu mpatie na yeye angalau hata Nyama moja, hao wajerumani wangeshinda walau 5-0 kishkajiHa haaaaa huruma mbele ya kazi mkuu.
Ivi nigeria hawapo kwe hizi fainali?...hawa watoto wapo vizuri sana...nawaaminia.sana
Hawa hapa wawakilishi wetu: Sura za Kazi.
Mhhh! Kweli sura za kazi. Huyo namba 7 nina mashaka nae...
Tatizo rangi ya jezi, brazil nao walivaa njano wakala saba!Wawakilishi wa Afrika katika kombe la dunia la wanawake Ivory Coast wamelazwa 10-0 na ujerumani
https://www.facebook.com/BBCSwahili...40310.160894643929209/997730360245629/?type=1