Timu maarufu zinazoongozwa kubebwa na Marefa

Timu maarufu zinazoongozwa kubebwa na Marefa

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Haitakua vibaya tukitaja timu maarufu za mpira wa miguu zinazoongozwa kubebwa na marefa duniani iwe Tanzania au popote Pale.
 
Ila Barca na Real balaa.....
kila timu iliyocheza spain inalalamika timu mwenyeji kubebwa.

Siwezi kusahau kuna game ya Man utd vs Madrid Nani alipewa kadi ya Nyekundu ya kiajabu sana

Man utd akalala 2-1
 
Hivi hapa Tanzania kuna timu mbeleko zaidi ya Yanga. Angalia matatizo waliyo sababisha kwa msimu mmoja tu.
1.Mpaka sasa kwa kubebwa yanga marefa wanne(4) wameshushwa.
2.kubebwa yanga viti vya uwanja wa taifa viling'olewa.
3.wamepigwa 4. TFF wanasema tusiwaite 4G.
 
Hivi hapa Tanzania kuna timu mbeleko zaidi ya Yanga. Angalia matatizo waliyo sababisha kwa msimu mmoja tu.
1.Mpaka sasa kwa kubebwa yanga marefa wanne(4) wameshushwa.
2.kubebwa yanga viti vya uwanja wa taifa viling'olewa.
3.wamepigwa 4. TFF wanasema tusiwaite 4G.
naona umekuja na ushahidi kabisa,sidhani kama Yanga wanabebwa ni aina ya mpira tu wanaocheza inakua rahisi wachezaji kufanyiwa madhambi refa akitoa kadi watu wanalalamika.

Na vipi kuhusu mtani anataka pointi za Huruma?
 
Back
Top Bottom