Timu Namba 1 Kenya Gor Mahia haijalipa wachezaji miezi minne, haiwezi hata kuhudumia maji wakati wa mazoezi

Hio ni lipuli
 
Abaluya FC awaoni siku hizi... Gori Mahia he he he heeeee. Ndio Simba na Yanga KENYA
 
The Best Thing The Poor Gor Mahai can do agains big teams in Africa ni kubakwa mabao mengi.
 
Elimu kidogo mkuu,
Kuna kocha nafikiri alitokeya brazil,mnda hukuwadia alipokanyanga mavumbini dar slum, chama cha madudu walimtimwa kama fisi.
 
#KtnTokyo2020. Watalii wa kutoka Kenya wanatakiwa kuondoka japani haraka sana lindi wanaponaliza kuangalia Ujapani. Mnapeleka watu wengi hili kujipatia pesa za wananchi sizizo na umakini . Hafadhali mngejenga vyoo huko kibera au shule sa vijijini
 
#KtnTokyo2020. Watalii wa kutoka Kenya wanatakiwa kuondoka japani haraka sana lindi wanaponaliza kuangalia Ujapani. Mnapeleka watu wengi hili kujipatia pesa za wananchi sizizo na umakini . Hafadhali mngejenga vyoo huko kibera au shule sa vijijini
Wacha wivu dogo. Nyinyi mliopeleka watu watatu Olympics unatuambia nini hapa? Ungefyata tu.
 
Wacha wivu dogo. Nyinyi mliopeleka watu watatu Olympics unatuambia nini hapa? Ungefyata tu.
Wangeshindwa ndiyo maana awakupelekwa wengi. Sasa watalii wa kwenu ndiyo hivyo tena. Wamejinza wakati walikuwa wamefungia ndani....
 
Wangeshindwa ndiyo maana awakupelekwa wengi. Sasa watalii wa kwenu ndiyo hivyo tena. Wamejinza wakati walikuwa wamefungia ndani....
Tunapata dhahabu tano au zaidi kabla mchezo haujakamilika. Mark my words.
 
Tunapata dhahabu tano au zaidi kabla mchezo haujakamilika. Mark my words.
10000m wapiiiiiii.... mlitegemea hii. Sasa Wabeshi na Uganda. Wangekwenda wadada wa riadha wawili ndio waziri. Wengine wanaogopa kushuka madawa ya kuongeza nguvu
 
10000m wapiiiiiii.... mlitegemea hii. Sasa Wabeshi na Uganda. Wangekwenda wadada wa riadha wawili ndio waziri. Wengine wanaogopa kushuka madawa ya kuongeza nguvu
billy, una tabiko zaidi ukuliko maiti. Alo kunywa supu ya kiti-mtu na pilipili. Mazezetas kweli hawana dactari lazima supu!!
 
Hizo ni ranks kwa team za taifa hapa zinazungumziwa clubs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…